Vigezo vya Jumla

Vigezo vya Jumla

Vigezo Mahususi
  1. 1Awe raia wa Tanzania
  2. 2Awe amethibitishwa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa upande wa Tanzania Bara, kwa Zanzibar awe na kitambulisho cha mwandishi wa habari (Press Card)
  3. 3Asiwe na rekodi ya kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai
  4. 4Inayohusu masuala ya maendeleo na kuibua simulizi za wananchi zinazoonesha namna miradi ya kitaifa ilivyofungua fursa na kubadili maisha ya wananchi
  5. 5Iliyofanyiwa utafiti wa kina, inayohusisha uchambuzi na takwimu
  6. 6Imechapishwa, kutangazwa au kurushwa kati ya Julai 01, 2025 hadi Juni 15,2026
  7. 7Iliyochapishwa, kutangazwa au kurushwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza katika vyombo vya habari vya ndani au nje ya Tanzania
  8. 8Inayohusisha vyanzo vya habari visivyopungua vinne (4)
  9. 9Haijashindanishwa katika tuzo nyingine
  10. 10Iwe na maudhui yanayozingatia ulinzi wa haki-miliki na haki shiriki
  11. 11Kwa chombo cha habari kiwe na leseni hai iliyotolewa na mamlaka husika

Vigezo hivi ni vya jumla. Kila kundi la tuzo lina vigezo vyake maalum — utaviona ukijaza fomu ya maombi chini ya kundi husika.